Muigizaji huyo na mama wa mtoto mmoja aliyezaa na dancer wa Diamond, Mose Iyobo, ameshirikiana waigizaji wengine wakiwemo Husna Iddy, Lissa Tarimo, Vivian Minja na wengine kucheza filamu hiyo.
“Usiamini kila kitu unachokiona au kusikia….. Kwasababu kila hadithi Ina pande Tatu yao, yako, Na ukweli,….. Christmas eve bonge LA movie iko mtaanii now …. Go get ur og copy,” ameandika muigizaji huyo kwenye Instagram.