Tuzo hizo huandaliwa na wizara ya mambo ya ndani ya Afrika Kusini kuwatuza wahamiaji wanaofanya vizuri kwenye nyanja mbalimbali nchini humo.
Alikiba atumbuiza kwenye Mkhaya Migrants Awards, Afrika Kusini
Fresh kutoka kuchukua tuzo tatu za EATV Awards, Jumamosi hii, Alikiba
alikwea pipa hadi jijini Johannesburg, Afrika Kusini kwenda kutumbuiza
kwenye, Mkhaya Migrants Awards. Zimetolewa Jumapili hii.

Tuzo hizo huandaliwa na wizara ya mambo ya ndani ya Afrika Kusini kuwatuza wahamiaji wanaofanya vizuri kwenye nyanja mbalimbali nchini humo.
Tuzo hizo huandaliwa na wizara ya mambo ya ndani ya Afrika Kusini kuwatuza wahamiaji wanaofanya vizuri kwenye nyanja mbalimbali nchini humo.
0 maoni: